Selfika na JF: Snap it. Show it

Karibu kwenye kula udongo [emoji3526][emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah leo nimesahau kutupia View attachment 1455583

Jr[emoji769]

Huyo dada kaja kuchukua vyombo au Hela Boss, Au na yeye kala? [emoji3] kwa tuliosoma Photography interpretation tatu B, location ya Dada na wewe wakati unapiga picha ni tata sana, tena zero distance (IMO)= In my Opinion.[emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
58 - 60 kg is actually a good weight range especially kama urefu wako ni average.
 
Hahahaaa

Jr[emoji769]
 
Kumbe wagonjwa tupo wengi ehhh???😬😬

Juzi nilikuwa naulizwa niletewe nini kutoka Moshi nikawaambia udongo tu (ule unaouzwa gengeni sijawahi kuuelewa)...nothing else! 😁😁
 
Kumbe wagonjwa tupo wengi ehhh???[emoji51][emoji51]

Juzi nilikuwa naulizwa niletewe nini kutoka Moshi nikawaambia udongo tu (ule unaouzwa gengeni sijawahi kuuelewa)...nothing else! [emoji16][emoji16]
Mimi Jana uliniishia
Nimejitahidi kukaa mchana bila kula,jioni uvumilivu ukanishinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…