Selfika na JF: Snap it. Show it

aki we akili zako, usinenepe mwaya.
Yaani naona jinsi wanavyohangaika...wanahangaika wee..wengine wamekaa na njia hadi wamepata vidonda vya tumbo.
Kuna mmoja anacheza 80's,,dokta anamwambia inabidi upungue maana alishaanza kupata presha.

Nikifikiria hizo tabu,nikijiona kamwili kangu naishia kumshukuru Mungu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…