Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dabo F
tapatalk_1589638529593.jpg


Jr
 
Usipokuwepo nao hawasomi.
Ni wasumbufu Sana.

Nimependa mwanao anavyosoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante 🙂🙂

Inabidi uwe unawapiga biti. Kama kazi za kufanya zipo unawanyima kufanya vitu wanavyopenda mpaka wasome . Yani hamna TV, Games, Cartoons, kuendesha baiskeli etc. kama mtu hajatimiza kile ulichompangia na usimamie kweli msimamo wako bila kutetereka.....mbona utafurahi mwenyewe.
 
Asante

Inabidi uwe unawapiga biti. Kama kazi za kufanya zipo unawanyima kufanya vitu wanavyopenda mpaka wasome . Yani hamna TV, Games, Cartoons, kuendesha baiskeli etc. kama mtu hajatimiza kile ulichompangia na usimamie kweli msimamo wako bila kutetereka.....mbona utafurahi mwenyewe.
Vry true bila kaukatili fulani toto linakupanda kichwani,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante

Inabidi uwe unawapiga biti. Kama kazi za kufanya zipo unawanyima kufanya vitu wanavyopenda mpaka wasome . Yani hamna TV, Games, Cartoons, kuendesha baiskeli etc. kama mtu hajatimiza kile ulichompangia na usimamie kweli msimamo wako bila kutetereka.....mbona utafurahi mwenyewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom