Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Namba 2
Mimi pia naona huyoNamba 2
Yeah sijui kwanini niko hivyo, huwa napenda vitu ambavyo watu wengi hawapendi.
Una jicho la moyo wewe mtoto,umelenga mule mule.
Nina zawadi yako.



khaa, wewe umejuaje.Yeah sijui kwanini niko hivyo, huwa napenda vitu ambavyo watu wengi hawapendi.





Nimeona.khaa, wewe umejuaje.
4 ama 5 Unaweza Kuona kabisa wao ndio kama hawana shauku na Mtoto na kundi zima limewazunguka wao
Mimi hata sioni yupi mama kati yao4 ama 5 Unaweza Kuona kabisa wao ndio kama hawana shauku na Mtoto na kundi zima limewazunguka wao
Sent using Jamii Forums mobile app




