hiyo statement bora umewahi kuisema mwenyewe, yaani nusu nikuambie hapa kesi ya nyani umeleta kwa ngedere.
nimekumbuka kuna mtu alianzisha uzi wake, ukatoa comment moja hiyo hadi alijaa sukari nikashangaa tu "Jael sitaki mazoea na wewe", nikasema uwii huyu dada ataja kuua watu kwa hasira na majibu yake haya, maana sikuelewa ile comment yako na kutaka mazoea vinahusianaje.
Tuacheni masihara jamani wale wanaoweka "way" uwa wanapendeza mno. Binafsi kwa sasa ni ngumu kuweka ile ya machine ila kwa kitana mitoko ya weekend NAWEKA