Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Hizi dhana zingine sijui mnazitoa wapi aise, kweli wabongo tuna phd za kukariri maisha. 





Hongera unajielewa Mkuu.
Maana wadada wengi unakuta wamepaka bleach na kisha way hata salamu unaogopa kutoa maana unaweza jikuta wanakucharge hela ya salamu.
Sent using Jamii Forums mobile app




