Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,500
- 203,204
Una tabia mbaya sana 😂kama mimi tu
Una tabia mbaya sana 😂kama mimi tu
Kusuka mateso, unless uwe na nywele nyingi kama yna2.Hadi raha umependeza tu mie mara mwisho ilikuwa 2018 kunyoa
Ni mateso muda mwingine kusuka kabisa
Nilikuwa na mpango nikinyoa niweke curl
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu tunapanda kule fly over kujiselfisha halafu basi kila mtu anaenda kwaoKwahiyo tunaonana ubungo tu halafu basi? Hebu huko!
Kama tangawizi? Emu nionesheungeviona vidole vyangu ndiyo ungejua jinsi gani umebarikiwa, pengine hauwezi kuona umuhimu wa miguu hadi ukutane na kiwete.
Halafu Saint Anne hata wewe tu ni dada yako, usimkosee adabu teh.
Wawoh!View attachment 1403830Weylyn
Nimenyoa tokea mwaka juzi mwishoni,..hadi Leo sijarudi kusuka. Afu mm sipendi kuchana nywele naonaga kama mateso, naweka wave nazivuruga vuruga tu pembeni nachan na blash imeisha hiyo![]()


😉😉
Nakazia mateso haswa..nikifikiriaga kuzichana hizi nywele jamani..hua naimba hadi mapambio..Kusuka mateso, unless uwe na nywele nyingi kama yna2.
Nyoa weka curl ndio nzuri kuliko wave

..Nina mpango wa kunyoa kipara fresh kabisa Kama nakaaya style..

Hehehe wazee wa beauty plus sio? Ila haijalishi kama mzuri mzuri tu ila naona we hujakutana na wale ambao mpaka snapchat imewakataa
Me yale macho tu, woii
Curl ni nzuri zaidi na inakaa muda mrefuKusuka mateso, unless uwe na nywele nyingi kama yna2.
Nyoa weka curl ndio nzuri kuliko wave
Zako ni natural ?Nakazia mateso haswa..nikifikiriaga kuzichana hizi nywele jamani..hua naimba hadi mapambio....Nina mpango wa kipara kipara fresh kabisa Kama nakaaya style..
Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi- Dar
Nitaenda hadi Moshi
Una tabia mbaya sana![]()
Kusuka mateso, unless uwe na nywele nyingi kama yna2.
Nyoa weka curl ndio nzuri kuliko wave



thubutu yakoo
Halafu tunapanda kule fly over kujiselfisha halafu basi kila mtu anaenda kwao
![]()
Kama tangawizi? Emu nioneshe
Halafu Saint Anne kwangu dogo tu
Zinachosha dear..haswa wakati wa joto loh!! Na mambo ya kuchana kila siku ngozi ya kichwa inaniuma hata kusuka mtihani pia.
Mmh Sina hiyo mbinu ya kufanya nywele isikue mpendwa wanguDadaa naomba unisaidie nifanye nywele zangu zisikue haraka. Mwanzo niliona sifa kwakua nilikua napewa hela ya kunyoa. Ila now naona inavyo cost... Nikinyoa within a week nywele zimejaa zahitaji saloon.
Wakina mama wengi hupenda curl vipi vile rough unaweza wekaHiyo curly niliwahi kuweka nikiwa na nywele ndefu, nilikaa nayo miezi mitatu tu nikarudi kwenye relaxer. Akha vilinishinda mie vya kupaka ile mimafuta ya jelly kila siku na kulala na shower cap na nilivyo mvivu kutunza nywele nikajisemea cha kufia nini, mama yangu ndiyo team curly toka enzi hadi leo.