Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Fanya Basi kuja darslam ya dar unisindikizemo huko cutting masterNikusindikize saloon? Kama Upo Dar nenda kwa cutting master hutojutia
Nikusindikize saloon? Kama Upo Dar nenda kwa cutting master hutojutia
Mlimani City huko.Cutting master ndiyo yuko wapi ??
😀😀😀 daslam ya Dar....nitakujamo kabla mwaka haujaishaFanya Basi kuja darslam ya dar unisindikizemo huko cutting master
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kufaidi hapo nini? 🤣wakubwa wanafaudu !!
Mlimani City huko.
Yule kaka ananyoa jamani![]()
daslam ya Dar....nitakujamo kabla mwaka haujaisha
Chombo ya mpendwa
Aaiyaaa!! Pasaka bwana.daslam ya Dar....nitakujamo kabla mwaka haujaisha
Hata Yule kinyozi wako ni mzuri, niliona zile picha 👌Oohh kumbe ndiye yule wa mlimani city, huwa nasikia watu wengi wanamsifia ila sikujua kama anaitwa hivyo. Mie ninaye kinyozi wangu yuko makumbusho ananyoa vizuri, ila next time nitaenda kwa huyo cutting master.
😀😀 unapenda kusifia kama mdogo wako Saint AnneSi hivyo vidole, hivi haujui kuna wanaume ugonjwa wao ni vidole vya kike, tena mfano mzuri ni Mshana Jr mwenyewe, aliwahi sema hivyo.![]()
Naonaga picha pale wananyoa vizuri !!Nikusindikize saloon? Kama Upo Dar nenda kwa cutting master hutojutia

Unikumbushe
Kata upumzishe ubongo huo 😀Naonaga picha pale wananyoa vizuri !!
Hapa zimekatika balaa nashindia vilemba !!
Sent using Jamii Forums mobile app