Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,467
- 203,085
Pasaka nitakuwa kwa kina Bikira Maria, wamenialika 😍
Pasaka nitakuwa kwa kina Bikira Maria, wamenialika 😍
Au unataka uje stesheni? JNA nna allergy nako 🤣🤣
Hahaha wanasema siku ukitaka kwenda kunyoa huwa humwambii mtu unajikuta umeenda mwenyewe saluni tayari umezikata !Kata upumzishe ubongo huo![]()
Kwa kweli...watashangaa post tu "new look 😂😂Hahaha wanasema siku ukitaka kwenda kunyoa huwa humwambii mtu unajikuta umeenda mwenyewe saluni tayari umezikata !
Sent using Jamii Forums mobile app
Au unataka uje stesheni? JNA nna allergy nako![]()



nitakuja kabisa kukuchukua ulipo.Njoo nakusubiri 😂😂😂
Sure thingKwa kweli...watashangaa post tu "new look 😂😂



mwee zile ni picha tu my dear, camera ya simu yangu inanibeba sana ukiniona live utakimbia. 


Hata Yule kinyozi wako ni mzuri, niliona zile picha![]()
#BabyEyes![]()
Hehehe wazee wa beauty plus sio? Ila haijalishi kama mzuri mzuri tu ila naona we hujakutana na wale ambao mpaka snapchat imewakataa 😂mwee zile ni picha tu my dear, camera ya simu yangu inanibeba sana ukiniona live utakimbia.
![]()



ungeviona vidole vyangu ndiyo ungejua jinsi gani umebarikiwa, pengine hauwezi kuona umuhimu wa miguu hadi ukutane na kiwete. 



Au unataka uje stesheni? JNA nna allergy nako![]()
Moshi- DarUnapanda treni? Kutokea wapi?
😂😂😂loh, siyo kwa msisitizo huo.