Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli kabisa aisee!
Niliposhuka A town tena nikazidi kuzitumia.

Yaani usiku kama mchana vile. Ni mwendo wa kula good time tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hyo mambo ila usizoee Sana babu utakuwa usingiz unausikia kwa toch tu Mana huwa nikianza kusaga nikiwa napiga na bia naiyona asbh hii hapa

kilicho akilini kitumie
 
Hii
IMG_20200204_140500.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooh..haleluyaa ngoja jumapili nikakanyage mafuta kwa niaba yako uzidi kumiminikiwa na Baraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lol, usije ukakosa pumzi,halafu ukalegea, ukashindwa kushikilia simu ikaanguka, kisha nawewe ukaanguka, "wapendwa" wakafanya "njia" juu yako, wakakukanyaga halafu ukakufa tuu.
 
Back
Top Bottom