Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo asubuhi nimetoka chuo baada ya kutafakari kuwa sina hela ya kula. Siwezi tumia savings kizembe maana lengo halitotimia. Nikaja kitaa kufanya mishe flani kumbe inahusisha store ya vifaa vya ujenzi. Mi nilikuja ili mradi nipate hela ya matumizi hata sikujua ni kazi gani. Nishachoka hapa na nina njaa.View attachment 1345209
Pambana mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wolverine...
20200203_102354~2.jpeg
 
hapana jamani kuna super black na black shine hiyo ni black shine ukipaka unakaa muda mchache halafu wanakuosha nywele zinabaki nyeusi ila ngozi inarudi kama kawaida,, super black zimepitwa na wakati..
Black shine ngozi inakuwa nyeupe hivyo dadake navyofahamu ukipaka ile ngozi inakuwa nyeusi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapana jamani kuna super black na black shine hiyo ni black shine ukipaka unakaa muda mchache halafu wanakuosha nywele zinabaki nyeusi ila ngozi inarudi kama kawaida,, super black zimepitwa na wakati..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dadake hebu sogeza kidogo picha vibaya hivyo yaani tuone sikio moja kweli 😍
 
Back
Top Bottom