Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Dona unaweza ukala bila mboga kwa ladha nzuri mdomoni huo uchungu ni mahindi yaliotumika tu wa usi singizie dona sembe ndo haina ladha mdomoni.
'mtindilo'
Dona unaweza ukala bila mboga kwa ladha nzuri mdomoni huo uchungu ni mahindi yaliotumika tu wa usi singizie dona sembe ndo haina ladha mdomoni.
Asante kwa kuwajibu vyema hawana wajuacho wanaponda bora wangetoa sababu ingine Dona ina ladha nzuri tu1. Hamjui kupika
2. Mnatumia unga uliokaa muda mrefu - ni lazima uwe mchungu
Dogo unakula dona maharage kabichi unategemea nini? Linaanzaje sasa kupita kooni
Kwa uweza wa Mungu tunaongezeka tu hatupungui.haya, huu ukiisha sinunui tena
Boss Kama wewe Ni tamu kwako usilazimishe iwe tamu kwa kila mtu.Dona unaweza ukala bila mboga kwa ladha nzuri mdomoni huo uchungu ni mahindi yaliotumika tu wa usi singizie dona sembe ndo haina ladha mdomoni.
'mtindilo'
Asante 🤝Asante kwa kuwajibu vyema hawana wajuacho wanaponda bora wangetoa sababu ingine Dona ina ladha nzuri tu
'mtindilo'
Dona inasababisha kansa, kuwa nayo makini. Dona salama ni ile umeiandaa mwenyewe mwanzo mwisho, sio ya kununua au Kula mgahawani.Asante kwa kuwajibu vyema hawana wajuacho wanaponda bora wangetoa sababu ingine Dona ina ladha nzuri tu
'mtindilo'
Ndo maana mnakuwa na vitambiAisee![]()
Chips za kupika mwenyewe nakupa big up kwa sababu hazikinaishi afu zinakuwaga tamu sana.
Mchana mimi wali, ndizi, chips, pilau inategemea na mood ya siku hiyo. Ugali weekend nikiwa home napo ni Mara chache mno
Usiku tambi, ndizi, chips, wali Mara chache.
Huyu ni Kiwavi jeshiMimi hizo ndizi nakula Mara chache Sana usiku..Mara nyingi Ni wali.
Pilau Mara nyingi weekend j2.
Chipsi Ni kama breakfast yangu.
Kuna watu huwa wanasema chipsi za kujipikia hazinogi.. Mimi huwa zinanoga vizuri tu na huwa hazinikinai..Tena nikikata na kachumbari Basi jiko Zima linanukia.
Mchana wangu haujakamilika Bila ugali,ugali wa kwetu mlaini wa unga wa mahindi ya kulowekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna kitumbo sio kitambi
😳 kansa ya koo au ya utumbo?Dona inasababisha kansa, kuwa nayo makini. Dona salama ni ile umeiandaa mwenyewe mwanzo mwisho, sio ya kununua au Kula mgahawani.
Hata Mimi niliwahi kusikia hivyo kuhusu Dona.kansa ya koo au ya utumbo?
kansa ya koo au ya utumbo?
Okee
Mhh kazi ipo 🤣🤣🤣Hata Mimi niliwahi kusikia hivyo kuhusu Dona.
Japo hiyo si sababu ya Mimi kula Dona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa dogo?Okee









Mama anaandaaga hivi...anachambua mahindi na kuyapeta kisha anaosha anaanika ndio yanaenda machine.Umeelewa dogo?
Uanze kula ugali wa unga wa mahindi yaliyokobolewa na kulowekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unga wa huko mtaani sidhani Kama Wana Muda wa kuoshaMama anaandaaga hivi...anachambua mahindi na kuyapeta kisha anaosha anaanika ndio yanaenda machine.
I swear ugali wa home unakuwaga mtamu...Ila me nikishatoka home na ugali nasahau kula.