Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi nalazimika kula cafe hii japo mboga zao Ni mbaya ,nakula sababu ya sembe.
Kuna cafe mboga zao Ni nzuri ila wanapika Dona,Dona Mimi hunilishi hata bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nalazimika kula cafe hii japo mboga zao Ni mbaya ,nakula sababu ya sembe.
Mimi nalazimika kula cafe hii japo mboga zao Ni mbaya ,nakula sababu ya sembe.
Kuna cafe mboga zao Ni nzuri ila wanapika Dona,Dona Mimi hunilishi hata bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Bora nishinde njaa kuliko kula Dona.Dona Noma sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
!Nakusubiri.
Sure thingLol let's put up a petition.

pole, dona mwenyewe sili iko kama pumba
Yaani Bora nishinde njaa kuliko kula Dona.
Ugali gani mchungu Kama Panadol!
Sent using Jamii Forums mobile app
HongeraMapema jioni nikimalizia kupanda mahindi...!
Chat na pichaView attachment 1338930
Sent using Jamii Forums mobile app


Mapema jioni nikimalizia kupanda mahindi...!
Chat na pichaView attachment 1338930
Sent using Jamii Forums mobile app
OMG....rear of the year!Mapema jioni nikimalizia kupanda mahindi...!
Chat na pichaView attachment 1338930
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi panadol ni chungu?!Yaani Bora nishinde njaa kuliko kula Dona.
Ugali gani mchungu Kama Panadol!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote hostel.
Ukitaka kupanga uwe na sababu zenye mashiko..mf una familia au mjamzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kazi ya kibarua mkuu.. hata kupanda au kupalia.
Life is so terrible miserable out here
Panadol sio chungu ila zinakaba kooniHivi panadol ni chungu?!
1. Hamjui kupikaYaani Bora nishinde njaa kuliko kula Dona.
Ugali gani mchungu Kama Panadol!
Sent using Jamii Forums mobile app