NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Jitahidi kuepuka dona
Dona nimewahi kula sana kijijini na mlenda, bahati nzuri kuanzia mwaka 2000 February sijawahi kula tena hadi leo, na sijalimiss 🤣🤣🤣🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Jitahidi kuepuka dona
Uje kwetu uleDona nimewahi kula sana kijijini na mlenda, bahati nzuri kuanzia mwaka 2000 February sijawahi kula tena hadi leo, na sijalimiss 🤣🤣🤣🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Super hot 33c
View attachment 1339445



Tarehe zinaruhusuDuh, Kweli January imeisha, mshale upo juuuuu full Tank
Sent from my iPhone using JamiiForums


Mimi hizo ndizi nakula Mara chache Sana usiku..Mara nyingi Ni wali.
Pilau Mara nyingi weekend j2.
Chipsi Ni kama breakfast yangu.
Kuna watu huwa wanasema chipsi za kujipikia hazinogi.. Mimi huwa zinanoga vizuri tu na huwa hazinikinai..Tena nikikata na kachumbari Basi jiko Zima linanukia.
Mchana wangu haujakamilika Bila ugali,ugali wa kwetu mlaini wa unga wa mahindi ya kulowekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijijini mahindi mnalima wenyewe. Hili Dona letu mahindi hujui yamekaa muda gani kwenye ghala au yamewekwa dawa ganiDona nimewahi kula sana kijijini na mlenda, bahati nzuri kuanzia mwaka 2000 February sijawahi kula tena hadi leo, na sijalimiss 🤣🤣🤣🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi Kijiji nilichozaliwa ilikuwa hakuna Dona Wala sembe.Kijijini mahindi mnalima wenyewe. Hili Dona letu mahindi hujui yamekaa muda gani kwenye ghala au yamewekwa dawa gani
😀 😀 😀 😀
Tarehe zinaruhusu
Uje kwetu ule

Nipo Buza kwa MpalangeHebu taja coordinates tutaathimini location
Sent from my iPhone using JamiiForums