Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mwenzenu leo ananung'unika JF kwenye majukwaa yote kuwa mmemtaja jina lake,, sasa bahati mbaya ananilalamikia mimi mtu ambaye si sahihi badala ya kuwalalamikia ninyi..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa yeye alitakiwa aje alalamike kule,anaendaje kulalamika majukwaa mengine?
Saint anne mama hebu njoo kwanza
si ndio hapo sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee
Kuna picha fulani niliwahi ona sehemu umeweka.
We jamaa aisee hizo kufuru Sasa..

Tupia nyingine tuone

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu walikuwa wanabisha kwamba ni yangu, walifikiri nimedownload kwenye internet, na nilijua watabisha. Nikawaambia angalieni vizuri mtaona kuna sahihi nimeweka "KIRANGA".

Hugo Boss..
20200125_094500.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom