Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Karma si unaona nimeandika sio MIMI?
Nisamehe Baby girl, nitaweka nyingine.
Kule Kwenye Uzi nilisema ndege nitazimia,

Utadhani Sio wewe uliyeshadadia kusema kwamba hata heaven sent aliniquote

Ooops, My Bad, sikujua hata kama ni wewe. Nakumbuka kumwambia mtu pole ila sikumbuki ni Username gani.
Mea Culpa Miss.
Umeona ee,hawa wasojulikana wanatupa stress hatuna Uhuru kivile Kama zamani.Ni muhimu kujikinga na hatari Tojo.





khaa basi we ni changamoto
Kule Kwenye Uzi nilisema ndege nitazimia,
Sasa boti nahisi nitakufa kabisa
Yaani nikaelee Kwenye maji???
Haki siwezi
Sent using Jamii Forums mobile app






Utadhani Sio wewe uliyeshadadia kusema kwamba hata heaven sent aliniquote
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za humu?.... Huu mtandao nilio hamia ata ku-upload picha ni shidaView attachment 1334514
Yaani nikaelee Kwenye maji Mimi?
