Sehemu kama zile ndio nzuri kuishi Sasa.
Sio Huku uswahilini vijumba vimebanana yaani Ni kelele tu
Sent using Jamii Forums mobile app





Hashim Spunda Rungwe
Kuna Kiranga Cha Ngeda halafu kuna Kiranga Kong.
Muangalie Kiranga Kong pale juu. View attachment 1333699
Jr![]()



Sio MIMI.
Kiranga Cha Ngeda Hashim Rungwe Spunda.



hapana mkuu sidhani kama una sura mbaya kiasi hiko,, hebu weka picha tuone..
Kiranga Cha Ngeda Hashim Rungwe Spunda.
Kitisho cha watoto wadogo wasiotaka kulala mapema.
Yani wakikataa kulala mama anasema "ntakuitia Kiranga" , mara tu wanaogopa wanaenda kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kuweka kwa sababu za kiusalama.hapana mkuu sidhani kama una sura mbaya kiasi hiko,, hebu weka picha tuone..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda porini...yaani kuwe kimya kumetulia.Mie huwa naishi popote sina shida kabisa,, ila tu hiyo sehemu kuwe na maji, umeme na mtandao na kusiwe na wanyama wakali, wadudu hatari wala vibaka basi..
Sent using Jamii Forums mobile app

naishi uswahilini kelele tuMjini hapaKweli wengine hatuna nyota yaani tukiomba picha zilizofutwa hatutumiwi ila wengine wakiomba fasta tu daah
Sent using Jamii Forums mobile app
..Sio unashangaa shangaa Hadi zinapostiwa upya na zinakupita
.
Mimi napenda porini...yaani kuwe kimya kumetulia.
Bahati mbaya Sana sijabahatika kuishi hukonaishi uswahilini kelele tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeweka hata dk 2 boss..
Mjini hapa..Sio unashangaa shangaa Hadi zinapostiwa upya na zinakupita
.
Unaachwa na gari stendi haki ya Nani nafurahi bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko milimani ndio kuzuri Sasa.Mie kusema kweli maeneo ya kwanza ninapopenda kuishi ni karibu na bahari yaani napenda nikitoka tu nje ya geti langu ufukwe huu hapa,, baada ya bahari sasa ndiyo napenda maeneo yaliyo karibu na milima yaani napenda nikitoka tu nje ya nyumba yangu mbele yangu nitazame bonge moja la mlima..
Sent using Jamii Forums mobile app