Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Unatamani kuvuta?Na wewe lini utanipeleka huko magharibi mwa dunia,, na mimi nikaonje cha malkia uniandalie rizla za kutosha siyo makaratasi..
Cc Da'Vinci
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatamani kuvuta?Na wewe lini utanipeleka huko magharibi mwa dunia,, na mimi nikaonje cha malkia uniandalie rizla za kutosha siyo makaratasi..
Cc Da'Vinci
Sent using Jamii Forums mobile app
Napitiwa na kausingizi ka winter na bhange.Y unipeleke kwa mtakatifu Anne.
Ngoja nikamhonge Maksi afanye mafrekechee hiyo makitu hapo isomeke Espy halafu namuambia asikubadilishie ng'oo hata umuombe vipi,, nimegundua tukikubembeleza wewe tunajisumbua tu..
Saint anne are you in
Sent using Jamii Forums mobile app







Unakwenda wapi na hamna njia huko?
Please please
Hasa ntakupeleka vipi huko wakati mwenyewe mgeni nimekaribishwa tu,Mimi ntakupeleka kwetu Mwanza Nyegezi na Juba Sudan kusini ninapopiga kibarua kama utaliweza joto la Juba.Na wewe lini utanipeleka huko magharibi mwa dunia,, na mimi nikaonje cha malkia tena uniandalie rizla za kutosha siyo makaratasi..
Cc Da'Vinci
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ngoja nikalale Dada,Mchana mwema stay blessed.Mwee lala tu kaka,, kwa akina Anne ndiyo kuzuri kumetulia..
Sasa nimeelewa why unajiita Blackcornishman,, ila tu ulisahau kuweka i hapo kati..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimfunga man u niite nije nikuwekee hapa









Si naachana nayo nafungua mpya yenye jina hili![]()
Yeah, Sure kamanda.Udogo sio Guilty kamanda..
Embrace your Weaknesses it won't used to hurt you man
Go to sleep no otherwise I'll sell all your dolls
Hasa ntakupeleka vipi huko wakati mwenyewe mgeni nimekaribishwa tu,Mimi ntakupeleka kwetu Mwanza Nyegezi na Juba Sudan kusini ninapopiga kibarua kama utaliweza joto la Juba.
Kweli ngoja nikalale Dada,Mchana mwema stay blessed.
Ukimfunga man u niite nije nikuwekee hapa![]()



ungejua mie na dolls ni kama mbingu na ardhi,, bora hata toys..
Go to sleep no otherwise I'll sell all your dolls