Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wewe lini utanipeleka huko magharibi mwa dunia,, na mimi nikaonje cha malkia tena uniandalie rizla za kutosha siyo makaratasi..

Cc Da'Vinci

Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa ntakupeleka vipi huko wakati mwenyewe mgeni nimekaribishwa tu,Mimi ntakupeleka kwetu Mwanza Nyegezi na Juba Sudan kusini ninapopiga kibarua kama utaliweza joto la Juba.
 
Bado nitamfuata tena na kumuongezea mshiko mwingine ahakikishe anakutrack kila unapofungua id mpya anakupiga ban halafu anaiacha hii tu

Lol itabidi tumtafute member unayemkubali sana humu (kama hajapigwa ban) atusaidie kukubembeleza labda utakubali sisi tumeshindwa kazi

Si naachana nayo nafungua mpya yenye jina hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aahh kaka kama joto la dar tu linanishinda hilo la juba ndiyo nitaliweza,, woii wacha nisote bongo kwanza huko kwa malkia nitaendaga tu inshaallah..
Hasa ntakupeleka vipi huko wakati mwenyewe mgeni nimekaribishwa tu,Mimi ntakupeleka kwetu Mwanza Nyegezi na Juba Sudan kusini ninapopiga kibarua kama utaliweza joto la Juba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom