Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,195
Fanya kamchakato basi

Fanya kamchakato basi

Ujue ile 'atoto' ilikuwa na appealing flani hivi. 'Atoto' sio sana ila ilikuwa afadhali kuliko hii ya sasa. Nakuja kwa amani, mpendwa.





Ni muda wa kurudi kwenye ile ya espy
Kama ambavyo Paulo ilikuwa.
Izoee na hii mpendwa.
Bora umesemaUjue ile 'atoto' ilikuwa na appealing flani hivi. 'Atoto' sio sana ila ilikuwa afadhali kuliko hii ya sasa. Nakuja kwa amani, mpendwa.
Lini unarudi huko tukutane Ubungo natamani sana kukanyaga cha Mbeya.
Unavyopenda adventure sasa; ujue na uzee wangu wote huu sijawahi kupanda treni eti
Asubuhi saa tatu na nusu in Mount Edgecumbe Cornwall.View attachment 1327416



haya na ticket uandae kabisa
Na begi nimeshaandaa, nasubiri safari tu![]()
Ndiyo siyo ya New Zealand au Australia au USA Cornish orijino.
Ndio mkuu ulijus mimi dini gani mkuu?
Kwa nini ukajua na kuhisi hivyo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app



mwee mie uzunguni napafahamu kwa mkuu wa mkoa na hoteli ya sugu tu basi huko kwingine sipafahamu,, mie siyo wa ushuani huko kaka mie wa uswahilini kule forest ya zamani na mabatini ndiyo mitaa yangu.. 


Lini Dadake nijipange unipeleke uzunguni kwa kina Dr Mponjoli na God Malakasuka nikabembembee mimi.
Ndiyo siyo ya New Zealand au Australia au USA Cornish orijino.