Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,206




Hakuna kurudi nyuma, ni "mbere kwa mbere" tu




Tukaribishane jamani.
Mxenge yule ntamuonea wapi.
Hukohuko mabatini poa so utanipeleka chaka forest.Moyo ukifurahi hata mabatini ni patamu kushinda huko uzunguni.mwee mie uzunguni napafahamu kwa mkuu wa mkoa na hoteli ya sugu tu basi huko kwingine sipafahamu,, mie siyo wa ushuani huko kaka mie wa uswahilini kule forest ya zamani na mabatini ndiyo mitaa yangu..
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimenyoa ndevu tu Mkuu
. Nimeishi miongo mingi.Achana na Chale nshaanza kujipanga na trip yetu ya kusini nasubiri tarehe na muda wa treni tu.
Mbona kafanana na Marehemu Babu yangu mzee Batungi.
Hakuna kurudi nyuma, ni "mbere kwa mbere" tu
Hukohuko mabatini poa so utanipeleka chaka forest.Moyo ukifurahi hata mabatini ni patamu kushinda huko uzunguni.
Mkuu ni kweli huwenda tunapishana katika baadhi ya mambo si unajua tena nyumba moja haikosi migogoro.Nakuonaga kule jukwaa la dini unakuwaga against Zurri kama sijakosea
Sent using Jamii Forums mobile app

Nimenyoa ndevu tu Mkuu. Nimeishi miongo mingi.
Napitiwa na kausingizi ka winter na bhange.Y unipeleke kwa mtakatifu Anne.Eti enh,, basi haina shida kote huko nitakuzungusha hadi kule kwa kina Saint anne nako nitakupeleka usijali kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na Chale nshaanza kujipanga na trip yetu ya kusini nasubiri tarehe na muda wa treni tu.
Mkuu ni kweli huwenda tunapishana katika baadhi ya mambo si unajua tena nyumba moja haikosi migogoro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pupil!
Udogo sio Guilty kamanda..Nimenyoa ndevu tu Mkuu. Nimeishi miongo mingi.