Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Mkuu, na wewe unaji-crop uso wakati kila mtu anakujua humu? 😂😂
Na mimi naomba niwafuate huko kwa Mwasimba.
Turudi mid february
Una Jicho zuri mzigua.
Nasubiri wafunge kwanzaNani kakudanganya,, angalia kwa simu mama bonyeza hiyo code niliyokutajia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Lini unarudi huko tukutane Ubungo natamani sana kukanyaga cha Mbeya.
Nikipigaga mmeya nikaanza kumeditate kuhusu ule ujauzito nasema Mzungu alaaniwe milele.Kuna mtu kaniuliza mbona hajawahi kuniona kanisani . Nikamjibu, hakuna namna ningekubali eti missus kapata mimba bila kuingiliana na mwanaume au kwa njia za kisayansi. Ile hadithi wanatuambia kwenye kile kitabu ilileta maana utotoni tu. Hiyo ni moja kati ya mengi yasiyoleta maana kwangu.
View attachment 1327388
Unavyopenda adventure sasa; ujue na uzee wangu wote huu sijawahi kupanda treni etiHaha lol na mie ndiyo nimepanga kuenda tarehe hizo sema mie naenda kwa treni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikipigaga mmeya nikaanza kumeditate kuhusu ule ujauzito nasema Mzungu alaaniwe milele.