Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Azzaro
20200113_074858.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
moja kati ya kitu ambacho google wananifurahisha katika google map ni timeline update.

hii kitu inafanya kazi very accurately. haidanganyi wala wewe huwezi kuidanganya. labda ufanye hivyo ukiwa unatumia simu ambayo imefanyiwa rooting(kwa wale watundu wa kucheza na simu).

hizi ni screen image kutoka kwenye timeline yangu hivi karibuni, ikionyesha baadhi ya maeneo niliyoyatembelea nilipokuwa vacation stone town, zanzibar.
View attachment 1321464View attachment 1321465View attachment 1321466
Kumbe waaribifu wa simu tuko wengi (root)
 
Shemeji sie wa huku Olidonyolengai porini porini tuliozoea kula mbuzi mzima tutashiba kweli ?

Au ndio tutakula na mpishi mwenyewe?
Utamlaje mpishi halafu kesho atapika nani?

Hapo lazima ushibe, kuna vitu vimewekwa ndani vinashibisha haswa.
Ila jamani unakulaje mbuzi mzima mwenyewe na wakati mbuzi mmoja wana kula watu 20+?
 
Utamlaje mpishi halafu kesho atapika nani?

Hapo lazima ushibe, kuna vitu vimewekwa ndani vinashibisha haswa.
Ila jamani unakulaje mbuzi mzima mwenyewe na wakati mbuzi mmoja wana kula watu 20+?
Yaani kwamba hizo nyama mbili na huto tudude twingine pekee ndiyo lunch !??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom