Regards... Morning to youSend her my legards...
Nilijua uko nae
Morning to you too..Regards... Morning to you
Morning dear
Nipo na nyie bega kwa bega, kijiwe kisichochosha
Nike ya ukweli,
Nipo na nyie bega kwa bega, kijiwe kisichochosha
Tatizo hunistui ,nakosa mengi masinema humuMwee bega lipi hilo kaka wakati una karibu wiki mbili haujacomment chochote humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah heri ya 2020 mtu wa nguvuMorning dear
Tatizo hunistui ,nakosa mengi masinema humu
Uwe unanitumia pm hahahaha nikikosekana hapa,
Mkuu unatumia auto hahahaa, tafuta ndiga la manual mzee
Hata hii ina manual option.Mkuu unatumia auto hahahaa, tafuta ndiga la manual mzee
Safi ,yani kuendesha auto hanipi mzuka kama manual mambo ya kupangua giaHata hii ina manual option.