Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kwanini ulijiita akili ndogo sana?.
Majina tunayojiita humu huwa sometimes ni reflections zetu wenyewe.
Hiyo post na ID name inatosha kukuambia kitu.
Kwanini ulijiita akili ndogo sana?.
Kuna muvi nimesahau jina watoto wa shule walienda HW. Moja ya watoto baba ake alikua anafanya kazi hapo kwenye idara ya Usalama. Magaidi wakatumia nafasi hiyo ya watoto kufanya yao humo ndani.
Huyo mtoto na dingi ake walipigania VIP anatoka mzimaaa..
Ila HW ilibomoka
Majina huumba kweli. Hata haya tunayojiita mitandaoni.Tuache kuita majina ya kushusha watoto thamani pindi wanapokua wadogo..ndio kinachotokea hiki. Mwisho unazlishi watu kama Joker
Ulikuwa na akili ndogo kipindi unasoma?Hii ni nickname yangu ya shuleni.
Ilibomoka kwa kulipuka?Kuna muvi nimesahau jina watoto wa shule walienda HW. Moja ya watoto baba ake alikua anafanya kazi hapo kwenye idara ya Usalama. Magaidi wakatumia nafasi hiyo ya watoto kufanya yao humo ndani.
Huyo mtoto na dingi ake walipigania VIP anatoka mzimaaa..
Ila HW ilibomoka
So you're living with your failure experience
Huyu akili ndogo sana unamwandikia lugha ngumu hivi? (Joking)So you're living with your failure experience
Iran wangeshajitoa mhanga mle ndani.Umeona eenh,, Yani wangeruhusu tungekuwa tunasikiliza habari nyingine saa hii..
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipiga bomu..Ilibomoka kwa kulipuka?
Mimi nahisi mtu akichagua username analazimisha comment zifanane na username yake. Ila uhalisia sidhaniMajina tunayojiita humu huwa sometimes ni reflections zetu wenyewe.
Hiyo post na ID name inatosha kukuambia kitu.

Najua kuna historia chungu nyuma ya hiyo id.😂
Don't worry I am just enjoying my life in a less serious ID. The name just reflect my past funny life at primary school.
Huyo mtoto alikua girl si ndio??.
Kama vile nilishaiangalia. Sema sikumbuki .Walipiga bomu..
Mimi nahisi mtu akichagua username analazimisha comment zifanane na username yake. Ila uhalisia sidhani![]()
Habari ya mwisho kuisikia kuhusu Jaquin phoenix ni kuhusu juzi kushinda tuzo za Globe award.. hii ya kua arrested sijaisikia.Majina huumba kweli. Hata haya tunayojiita mitandaoni.
Halafu bado sijaangalia movie ya Jokar. Halafu ni Jana nasikia actor aliye act kama joker kawa arrested. Nikasema nitatafuta movie nikasahau.
Nyama hazijaiva..
Inawezekana DonNi reflections kwa baadhi, maana mpaka uchague username lazima utumie akili mpaka kuchagua.
Mwisho wa siku unachagua yenye maana.
Fuatilia utaona.Habari ya mwisho kuisikia kuhusu Jaquin phoenix ni kuhusu juzi kushinda tuzo za Globe award.. hii ya kua arrested sijaisikia.
Hafu Joker hata sio nzuri ki hivo sema tu ni charracter ambae comics zake zinapendwa