Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kumbe wewe km Mimi.Snap ndio sijawahi kumiliki hata APP yake
Unakuta watu mara wanajitafuna midomo yaani ni shughuli

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe km Mimi.Snap ndio sijawahi kumiliki hata APP yake

Kumbe wewe km Mimi.
Unakuta watu mara wanajitafuna midomo yaani ni shughuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mi naishiaga kucheka tu.Ama anajichukua video for no reason...yani haongei kitu ni anaiface tu camera huku anajishaua shaua
Wadada tuna tabu asee!


Wewe na Huyo Sankara mtakuwa na makengeza


(joking)Wewe na Huyo Sankara mtakuwa na makengeza(joking)
Haiewezekani mmeacha kuangalia Mambo yanayoonekana,mmeenda kuangalia yasiyoonekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaKama wewe una chuchu hivyo sipati picha kwa ........ zako.
Nakutania mtani![]()