Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpaka vichwani[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
Pale ubunifu unapoenda pasipo kutafakari unachokibuni. Kwamba Doria itakuwa mpaka chumbani au majumbani kwa watu ?

Jr[emoji769]
 
.
il_570xN.1229696065_qmya.jpeg


Jr[emoji769]
 
maana ipo.
huwezi amini, kipindi chote kuanzia xmas mpaka usiku wa mwaka mpya hotel ilikuwa full booked.

nasikia mfalme wa morocco na familia yake alichukua sehemu kubwa ya hii hotel kwa mwezi mzima. jamaa alikuwa Zanzibar kula bata.

inasemekana mteja akija na vilevi vyake halafu ukaenda navyo chumbani, nobody cares.

Kama mteja akija navyo na kujiachia chumbani hamna tabu basi ni hotel nzuri mkuu, nilidhani pombe haitakiwi kabisa hapo
 
Back
Top Bottom