Kamanda ana jicho la tatu
Jr![]()
Kumbe unajua


Ningeenda ila sina ela ya kununua simu mpyaWananchi tunajambo letu kesho pale taifa...
Wangapi tutakutana pale?View attachment 1310999
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikupa mingi sana Basi ni 27-28 kitu ambacho nimeshapita huko kitambo sana
Nilikupa mingi sana Basi ni 27-28 kitu ambacho nimeshapita huko kitambo sana
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona pale nmetabasamUwe unatabasamu basiii
Mbona hiyo avatar inatabasamu etimbona pale nmetabasam
maana ipo.
huwezi amini, kipindi chote kuanzia xmas mpaka usiku wa mwaka mpya hotel ilikuwa full booked.
nasikia mfalme wa morocco na familia yake alichukua sehemu kubwa ya hii hotel kwa mwezi mzima. jamaa alikuwa Zanzibar kula bata.
inasemekana mteja akija na vilevi vyake halafu ukaenda navyo chumbani, nobody cares.