wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Sory mkuu wewe ni nesi?
View attachment 1310563
Good nyt wana!
View attachment 1310563
Good nyt wana!
Awww



Naomba raba dada
Uwe unatabasamu basiiiView attachment 1310563
Good nyt wana!





hivi unaniona mtoto mwenzio eenh
We noma sana. Umejuaje mwaka wangu niliozaliwa ? Hakika, Kuna watu ni zaidi ya manabii hapa duniani. Sikuwahi kujua kuwa kuna manabii wa kimya kimya. Maana kwa kipawa chako hicho cha hayo maono kwa dunia ya sasa ungekuwa ni mmoja kati ya hawa wanaojiita manabii wakubwa hapa Duniani.
....... Bieber anaanza kumuiga Chriss brownView attachment 1310816





Halafu umemtosa shemeji yangu mpaka kapotea.Naomba raba dada
Uweke kwenye lile bag
Halafu umemtosa shemeji yangu mpaka kapotea.
Hatumuoni tena handsome wetu humu
Sent using Jamii Forums mobile app





Kumbe we ni mkubwa mwenzangu.
Hebu muite jamani, saivi nakubali kabisaa my dear!!
Mi Nimemmiss Sana..