smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,575
- 12,186
maana ipo.Kama hawauzi pombe haina maana
huwezi amini, kipindi chote kuanzia xmas mpaka usiku wa mwaka mpya hotel ilikuwa full booked.
nasikia mfalme wa morocco na familia yake alichukua sehemu kubwa ya hii hotel kwa mwezi mzima. jamaa alikuwa Zanzibar kula bata.
inasemekana mteja akija na vilevi vyake halafu ukaenda navyo chumbani, nobody cares.







