
Kee it up....happy new year 💥
NipoUshatoka hapo nije kukusalimia.?
Niko Kilombero hapa nakuja.Nipo
AsanteHeri ya Mwaka mpya wakuu wote ! All the best in 2020.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo picha haionekani vizuriHahahahaha!
Hupajui hapa ??
Wewe kweli haupo Iringa.
![]()



HahahaahahahHuyu mkaka aliejaza screen ni nani jamani? Halafu nimeitafuta hiyo picha nimeikosa.
Namsalimia tu na kumtakia kheri ya mwaka mpya.
Amu. View attachment 1309379
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mungu akubariki sana jamani kaka2020, nimeamua rasmi kupunguza muda ninaoutumia kunywa na kurudi kwenye tabia yangu ya kusoma vitabuView attachment 1309415
Hebu niajiri hapo kwenye mpesa
Tukuulize wewe ulooa
😎Niko Kilombero hapa nakuja.
Usitake kunambia umeniacha na umepitiliza mwenyeweHahaha, haya bwana.
Karibu Mufindi lakini.
View attachment 1309502View attachment 1309504View attachment 1309505View attachment 1309506


Hahaha, haya bwana.
Karibu Mufindi lakini.
View attachment 1309502View attachment 1309504View attachment 1309505View attachment 1309506

Eeeh haya mazingira noma sana,