Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Uwa mnapenda eeh? 😎
Nina damu ya kihaya, so jibu unalo.
Uwa mnapenda eeh? 😎




Hiyo picha juu ya Uzi ni ya nani?
Leo nachatia kwenye app...ni kugumu mno doh
Sent using Jamii Forums mobile app



sasa kaka sikia kwanza mbona ghafla halafu unaondoka huku haujaniachia hata namba yako jamani 


Hi good peeps, naona sasa ni muda muafaka wa ID ya Watu8 kung'atuka kutoka katika huu uzi kwa muda usiojulikana...
Till then, adios amigos...
Nipo JF ila sitakuwa active kwenye huu uzi...sasa kaka sikia kwanza mbona ghafla halafu unaondoka huku haujaniachia hata namba yako jamani
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mateAll the best brother, till then..
Browser mbona simple hivi?! Mie app hapana kwa kweli, ni ngumu mnoKhaa kweli tunatofautiana,, mie kwangu naona browser ndiyo ngumu looh utadhani formula ya kutengeneza bomu la nuclear sijawahi kuipenda wala kuizoea japo huwa naitumia mara moja moja..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi dadamodogo lini mie nmeanza kuweka chumvi nyingi?
Jamaaaniii
Mkuu unazijua sifa za watoto wa kiganda lakini ambazo hupati popote pengine? Sprinklers, labia minora pulled out, thickness. You go Uganda, you never go back.
Uwa mnapenda eeh?![]()