Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493



ah wapi siku hizi niko vizuri we si unaona hadi picha za kutumwa usiku wa manane nazo hazinipiti,, ndiyo uandae mshiko sasa..
Nasubiri tar 31 uniletee album ya picha.
Wewe chezacheza humu halafu upitwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kusoma Nomino wakati flani shule, kuna aina kadhaa za nomino, na kuna vitu flani eneo flani havipo so wanakua hawana jina la dude Hilo.
So kwa kuwa huku kwetu hilo dude hamna , na jina lake halipo piaIMO( in My Opinion)
Hilo dude niliwahi kula kule mashariki ya mbali Wakati nasoma baada ya High school.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Oui mademoiselle karma!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna ukweli kwa mbali
Weka picha tuoneKuna ukweli kwa mbali
Avatar yanguWeka picha tuone