Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa morombo
20191228_143253.jpeg
 
Zinaitwaje kwa kiswahili hizi vitu?

View attachment 1305638

Niliwahi kusoma Nomino wakati flani shule, kuna aina kadhaa za nomino, na kuna vitu flani eneo flani havipo so wanakua hawana jina la dude Hilo.

So kwa kuwa huku kwetu hilo dude hamna , na jina lake halipo pia 🤣IMO( in My Opinion)

Hilo dude niliwahi kula kule mashariki ya mbali Wakati nasoma baada ya High school.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bila shaka ni China huko siyo
Niliwahi kusoma Nomino wakati flani shule, kuna aina kadhaa za nomino, na kuna vitu flani eneo flani havipo so wanakua hawana jina la dude Hilo.

So kwa kuwa huku kwetu hilo dude hamna , na jina lake halipo pia IMO( in My Opinion)

Hilo dude niliwahi kula kule mashariki ya mbali Wakati nasoma baada ya High school.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom