Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
2014 form oneKuita ngoma old school au sio ni kutokana na mtazamo wa mtu..
Mimi naita ngoma za 2014 ni old kwakua ndio nilikua naanza form one so zanikumbusha mbali..




Daaaaah!
2014 form oneKuita ngoma old school au sio ni kutokana na mtazamo wa mtu..
Mimi naita ngoma za 2014 ni old kwakua ndio nilikua naanza form one so zanikumbusha mbali..




Hahah...
Watu wamelizwa sana Tabata, walikuwa wananunua viwanja wakati wa kiangazi, enzi hizo ukiwa na kiwanja Tabata ilikuwa deal...
Sasa ulipokuwa ukiwadia msimu wa masika unapata mtu kauziwa mahali maji yanapita au ndio yanapokwamia...
Form one??? Dah😳🤣🤣🤦🏽♂️Kuita ngoma old school au sio ni kutokana na mtazamo wa mtu..
Mimi naita ngoma za 2014 ni old kwakua ndio nilikua naanza form one so zanikumbusha mbali..
2014 form one
Daaaaah!
Kwanini watu weusi hua tuna Consider zaidi umri kuliko vitu vingine vyovyote?Form one??? Dah😳🤣🤣🤦🏽♂️
Watu mnadharau duuh..
Watu mnadharau duuh..





Utuwache we mtotoPakeni asali

Hahahaha umenikumbusha kule Kinyerezi karibu na home kuna mtu alijenga nyumba yake nzuri tu tena pembeni ya barabara,, sasa alipojenga ni kama pameenda chini hivi kwahiyo mvua ikinyesha maji yote yanatuama pale kwake kuanzia nje yanaingia hadi ndani kiasi mali zake zikawa zinaelea..
Aise sasa hivi amehama ameamua kuifanya kama kashule tu ka nursery kachorachora vikatuni kwa nje kwenye nyumba na kwenye fensi then imekuwa shule,, alijenga pabaya sana pale yaani ukipaangalia utasema shamba la mpunga kumbe pamekaa vibaya tu maana ni kama kabwawa kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app





Hahaha ata sijali mie nikiwa mjukuu..
Wabongo mentality yetu sijui iko.. wanategemea kuona vitu vikubwa toka kwa watu fulani..wenye umri fulani.
Wanaona watu welio chini ya umri fulani hawafai kufanya vitu fulani..



mbona wewe ni mkubwa tu eti lakini,, basi baba tema mate tumchape Jael..


I feel useless
Mie hata kukata tu kucha na meno siwezi, nyie wala kucha sijawahi kuwaelewa.
Huyu ni Mimi wallahiSijui shida nini mie nakula halafu nazila vibaya sasa,, hadi vidole vyangu vimekuwa kama virungu vya bendi.. ushajipata umekula kucha hadi vidole vinauma unashindwa kufua japo handkerchief tu?? Mie nahisi nina pepo wallah!!
Sent using Jamii Forums mobile app





najichuna ngozi kabisaa za vidole