Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,763
- 145,547
Kuna sehemu inaitwa "Ubaya Ubaya" hapo, Uswahiliiini.Tabata Bayma...ndio Tabata Bima 😀😀 kuna rafiki angu mmoja anaishi huko, Tabata shule uwahilin kama Mwananyamala
Kuna sehemu inaitwa "Ubaya Ubaya" hapo, Uswahiliiini.Tabata Bayma...ndio Tabata Bima 😀😀 kuna rafiki angu mmoja anaishi huko, Tabata shule uwahilin kama Mwananyamala
Pilau kwa kizigua
Barabara ilikuwa ina mashimo makubwa kuliko Ziwa Victoria, ukiwa na ki ViTZ kinazama kizima kizima kukipata labda mtafute meli ije kukiengua kutoka chini huko!Heheh...
Tabata ipi hiyo ya kishua, labda miaka ile ya 94 hadi 97 wakati ndio Tabata imeanza vamiwa na wenye hela...
Before hapo ilikuwa madimbwi ya maji kunalimwa mpunga na baada ya hapo kumekuwa slum...walau Tabata Kinyerezi na Segerea ndio kuna ushua kidogo
Cc Nokia 🏃♀️
Mkuu, nadhani ungeanzia 2008 kurudi nyuma angalau kidogo ungeitendea haki Bongo Fleva..Your apologies is accepted..
Old school songs nilizonazo zipo kama 1800+ hapo kwenye screenshot sidhani kama zinaonekana hata 200. Umeona cgache kuliko nyingi zilizobakia..
Old song mimi hua naziita zile za kuanzia 2014 mpaka 2000
Jamaa umejua kumtuliza yaani siku hizi hata kuchangia jukwaani hataki (joke) 😜
Heheh...
Tabata ipi hiyo ya kishua, labda miaka ile ya 94 hadi 97 wakati ndio Tabata imeanza vamiwa na wenye hela...
Before hapo ilikuwa madimbwi ya maji kunalimwa mpunga na baada ya hapo kumekuwa slum...walau Tabata Kinyerezi na Segerea ndio kuna ushua kidogo
Happy boxing day to y'all,as for me I haven't unboxed anything yet. Been watching movies tu.View attachment 1304305
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananisaidia kulea wananguJamaa umejua kumtuliza yaani siku hizi hata kuchangia jukwaani hataki (joke)![]()

Mkuu, nadhani ungeanzia 2008 kurudi nyuma angalau kidogo ungeitendea haki Bongo Fleva..
Kuanzia 2009/2010 hapo ndio zikaanza hizi vurugu za beat makers na wasanii wao kuvuruga ladha ya kamziki ketu..
Ngoma ya 2014 uipe hadhi ya Old Skool? Cu'moon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mamii

umechapia right??
Pilau kwa kizigua
200K
Sent from my iPhone using JamiiForums
Oohh daah ngoja niingie chimbo nikatafute picha zote nikuletee haya fanya muamala basi chap nasubiri
Sent using Jamii Forums mobile app