Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Nikikuonesha za kwangu mbona utasema alhamdulillah,, hizo zako ndefu kabisa mama..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikuonesha za kwangu mbona utasema alhamdulillah,, hizo zako ndefu kabisa mama..
Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa Dar ningeweza fananisha na Tabata hivi

una sh ngapi sema fasta fasta??
Weka hapa tuzitaathminishe .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante mama.
Pinko umejichora.
Hata hatuchekani.
Wacha maneno mengi bwan awe, weka.
Naona hukupenda swali. Nilikuwa kwenye mshangao. Sorry.What do you care kijana.?
Upo sahihi...Sakina hakuna Mijengo kama iliyopo Njiro na Moshono ila kuna viwanja tu vya kuburudikaKwa Dar ningeweza fananisha na Tabata hivi
The same to SakinaHaha Tabata ipi maana Tabata kubwa halafu kuna sehemu za kishua na za uswahilini
Sent using Jamii Forums mobile app
Your apologies is accepted..
Heheh...Haha Tabata ipi maana Tabata kubwa halafu kuna sehemu za kishua na za uswahilini
Sent using Jamii Forums mobile app
HewalaaaUpo sahihi...Sakina hakuna Mijengo kama iliyopo Njiro na Moshono ila kuna viwanja tu vya kuburudika
Tabata Bayma...ndio Tabata Bima 😀😀 kuna rafiki angu mmoja anaishi huko, Tabata shule uwahilin kama MwananyamalaHeheh...
Tabata ipi hiyo ya kishua, labda miaka ile ya 94 hadi 97 wakati ndio Tabata imeanza vamiwa na wenye hela...
Before hapo ilikuwa madimbwi ya maji kunalimwa mpunga na baada ya hapo kumekuwa slum...walau Tabata Kinyerezi na Segerea ndio kuna ushua kidogo

sh ngapi sasa ili nilinganishe picha na kiasi
ntatuma na ya kutolea usijali.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wacha maneno mengi bwan awe, weka.