Mmmhhh
Nimechukua twisheni kwakoMkwe lini umeanza usanii?
Shindwa kunisingizia mtoto wa watuNimechukua twisheni kwako

Mwambie ulichukuliwa na wasio na majina (wasiojulikana)
Hizi ndio old bongo flava songs kwako? How old are you?Mimi toka saa 9 nimeweka playlist ya nyimbo za old bongofleva mpka sasa nipo nasikiliza..zipo 1881
Hadi zote ziishe itanichukua masaa 143.
Mziki wa zamani ulikua mziki mtamu sana nimeona..D knob na Jeby nimewasikiliza sana leo
View attachment 1303548View attachment 1303549
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Bwana Shamba ya Mr. Nice wali-uploadOk.. JF WAKO VIZURIView attachment 1303543

Haya mkwe nimeshindwa mimiShindwa kunisingizia mtoto wa watu![]()
Amen!Haya mkwe nimeshindwa mimi
What do you care kijana.?
Hizi ndio mbinu za kivita sasa....tehHahahaha, Mzee mwenzangu ,hapo sema ulitekwa na watu wasiojulikana
MTC | 101|![]()

Simuogopi mkuu, tatizo gia ya kuingilia home ndio ilikuwa changamoto.

Mkuu... Ahsante kwa kunipa muongozo wa mbinu za kivitaMwambie ulichukuliwa na wasio na majina (wasiojulikana)