Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,564
Tuesday is garbage pickup day.

Bongo hadi tuje fikia huu ustaarabu, sijui itakuwa mwaka gani...(though some parts za Dar wanafanya, Mikocheni, Masaki na O'bay)
Acha tuendelee kupambana naashimo ya taka![]()
Ni wakati wa kutoa sasa. Nasubiri zawadi yangu![]()
, Inbox 8 🤣mbuzi k'liki
weka jina lote Mkuu, asije soma kliniki 



.Dunia ipo mbali sana, kuna hotel moja nilienda kuna sehemu nilichemka nikalala bila kuoga bafu koki siioniSelf-check out. Scan and go.
Wakati mwingine mtu unaenda dukani kununua kitu au vitu ambavyo hutaki mtu mwingine ajue unanunua.
Mfano, kuna watu huwa wanaona noma kwenda dukani kununua condoms, tampons, chupi, nk.
That’s when self-check out kiosks come in very handy.
Una scan bidhaa, unachagua ulipe kwa pesa taslimu au kadi, unalipia. Unaweka bidhaa kwenye mfuko. Unachukua risiti yako. Unasepa.
Hakuna ajuaye [zaidi ya mashine] umenunua nini.
Faragha ni jambo muhimu.
View attachment 1302650
Bia bia....
View attachment 1302651
Comrade na mimi nimeyasukuma sana hayo madude back thenHapo moja ni la recycling...plastic materials, boxes, glass, etc.
Jingine ndo la regular trash.
Bongo kuna recycling center yoyote ile?
,kuwawekea jamaa wa green 'robotic armed' truck waje collect...Self-check out. Scan and go.
Wakati mwingine mtu unaenda dukani kununua kitu au vitu ambavyo hutaki mtu mwingine ajue unanunua.
Mfano, kuna watu huwa wanaona noma kwenda dukani kununua condoms, tampons, chupi, nk.
That’s when self-check out kiosks come in very handy.
Una scan bidhaa, unachagua ulipe kwa pesa taslimu au kadi, unalipia. Unaweka bidhaa kwenye mfuko. Unachukua risiti yako. Unasepa.
Hakuna ajuaye [zaidi ya mashine] umenunua nini.
Faragha ni jambo muhimu.
View attachment 1302650
Bia bia....
View attachment 1302651
Hahah kashaelewa mkuu...niliweka kifupi kuhofia kumkera, si unajua kuna wenzetu hawatumii mduduweka jina lote Mkuu, asije soma kliniki
.
Sent from my iPhone using JamiiForums


Dunia ipo mbali sana, kuna hotel moja nilienda kuna sehemu nilichemka nikalala bila kuoga bafu koki siioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ipo mbali sana, kuna hotel moja nilienda kuna sehemu nilichemka nikalala bila kuoga bafu koki siioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ipo mbali sana, kuna hotel moja nilienda kuna sehemu nilichemka nikalala bila kuoga bafu koki siioni
Sent using Jamii Forums mobile app


Ungepapasa ukuta wote, labda kuna sensors, Ndio maji yatoke! Jesus, na nilisoma hivyo ujue!!! Sijui umewaza nini aiseeweka jina lote Mkuu, asije soma kliniki
.
Sent from my iPhone using JamiiForums




Jesus, na nilisoma hivyo ujue!!! Sijui umewaza nini aisee![]()







