Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,195






Nilisomaaa sikupata connection, nikasema maybe mambo ya waarabu wa Pemba








Utakuwa wa kupambana chini kwa chini weweDaah hivi mimi mbona kila nikijaribu kukunja nne kama hivyo nashindwa?? Au ndiyo ubonge umezidi??
Halafu wewe unaonekana siyo mnene
Sent using Jamii Forums mobile app





Hahah mbona mikono kichwani!!!
Utakuwa wa kupamba chini kwa chini wewe![]()
Hahaha...kwamba hata akikaa kwa stuli miguu haigusi sakafu







kumbe na wewe uliona,, sema ashukuru siku hizi nimekuwa mstaarabu maana ingekuwa enzi zile sitaki hata kuwaza ni jibu gani lenye ningempa..


ila angekujibu wewe hivyo mimi ndiyo ningeandaa mbavu zangu
Nilisomaaa sikupata connection, nikasema maybe mambo ya waarabu wa Pemba![]()



kumbe basi ndiyo maana aisee
Utakuwa wa kupambana chini kwa chini wewe![]()
Hahaha...kwamba hata akikaa kwa stuli miguu haigusi sakafu



Na wewe nani akikuomba utatubariki?
. Siku kama hii ziwe nyingi.
Sometimes I wake up by the door,When we fell,something die ,cause i knew that that was the last time....
Hahah polee
Who are they?Daah hizo sifa za kina Tausi na Dorah ndiyo unanipa mimi jamani??
Sent using Jamii Forums mobile app