Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kumbe na wewe uliona,, sema ashukuru siku hizi nimekuwa mstaarabu maana ingekuwa enzi zile sitaki hata kuwaza ni jibu gani lenye ningempa..

ila angekujibu wewe hivyo mimi ndiyo ningeandaa mbavu zangu

Nilisomaaa sikupata connection, nikasema maybe mambo ya waarabu wa Pemba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom