Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha kuna hoteli ukifika chooni hauoni choo unakuta chumba tu kitupu kumbe ni hadi utumbukize kadi mahali ndiyo choo kinajitoa ukutani sasa ukiwa mshamba kama mimi wallah unaachia haja zote hapo hapo huku unajiona
Dunia ipo mbali sana, kuna hotel moja nilienda kuna sehemu nilichemka nikalala bila kuoga bafu koki siioni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Last minute workout before I pig out....

A0F21856-2E5C-4DA9-B7CA-D0CE10788ADC.jpeg
 
Haha kuna hoteli ukifika chooni hauoni choo unakuta chumba tu kitupu kumbe ni hadi utumbukize kadi mahali ndiyo choo kinajitoa ukutani sasa ukiwa mshamba kama mimi wallah unaachia haja zote hapo hapo huku unajiona

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaaa.

Sasa ikitokea hivyo unaenda mapokezi kuuliza.

Kuuliza si ujinga ndugu zanguni.

Hakuna ajuaye kila kitu dunia hii.
 
Hahahaha sasa hapo unakuta umebanwa mambo yote yako mlangoni hadi unashindwa kutembea miguu imeweka alama ya x,, unaendaje mapokezi ndiyo kimbembe sasa..

Yaani hapo ni hadi atokee anayejua hayo au msamaria mwema akubali kuulizia mapokezi na kukurudishia taarifa ndiyo pona yako,, vinginevyo tutazungumza habari nyingine..
Hahahaaa.

Sasa ikitokea hivyo unaenda mapokezi kuuliza.

Kuuliza si ujinga ndugu zanguni.

Hakuna ajuaye kila kitu dunia hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha sasa hapo unakuta umebanwa mambo yote yako mlangoni hadi unashindwa kutembea miguu imeweka alama ya x,, unaendaje mapokezi ndiyo kimbembe sasa..

Yaani hapo ni hadi atokee anayejua hayo au msamaria mwema akubali kuulizia mapokezi na kukurudishia taarifa ndiyo pona yako,, vinginevyo tutazungumza habari nyingine..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna simu?
 
Back
Top Bottom