Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karma jichange kuna za bei yetu wakulima ukisave inawezekana
Screenshot_2019-12-23-14-28-45-1.png
 
Heheh Karma kupanda hayo madude ni mpunga mrefu...

Ila napenda safari ndio maana ninayafahamu maeneo mengi sehemu kubwa ya TZ...

Hapa yenyewe nafikiria wapi niende safari wikiendi kadhaa zijazo...

Kusema ukweli wala si gharama kivile.

I’ve been on two cruises, thus far. One to St. Thomas and one to the Bahamas.

And both of them were under $1K for 5 days.

Na kila mara huwa kuna promotions kibao. Nina imani asilimia kubwa ya wasafiri kwenye hizo meli huwa hawalipi full price [whatever that is].

Au labda kwa mpunga mrefu unamaanisha kuanzia kiasi gani? Manake muktadha nao ni muhimu.

$1,500.00 inaweza kuwa wastani kwa mtu A lakini ikawa mpunga mrefu kwa mtu B na C.

 
Kusema ukweli wala si gharama kivile.

I’ve been on two cruises, thus far. One to St. Thomas and one to the Bahamas.

And both of them were under $1K for 5 days.

Na kila mara huwa kuna promotions kibao. Nina imani asilimia kubwa ya wasafiri kwenye hizo meli huwa hawalipi full price [whatever that is].

Au labda kwa mpunga mrefu unamaanisha kuanzia kiasi gani? Manake muktadha nao ni muhimu.

$1,500.00 inaweza kuwa wastani kwa mtu A lakini ikawa mpunga mrefu kwa mtu B na C.


Comrade kwa sisi wabongo wengi wetu kula bata inayozidi 1mil kwa mkupuo mmoja ni mpunga mrefu (at least kwa uzoefu wangu)...

Sasa ukijumlisha na zile costs za kuyafuata hayo madude kwenye port ya karibu plus tena kurudi...

Mfano kwa TZ the closest cruise ship ni Costa Mediterranea yenyewe inazunguka visiwa vya karibu Seychelles,Madagascar, Mauritius na ReUnion...

Sasa kuipanda hii inabidi uifuate Port Louis, Seychelles...sasa hadi kila kitu kinaisha unaweza pata umechoma dola 2500$ hivi...

Hahah kibongo bongo hapo ushaleta Vitz toka Japan, bado hela ya kutolea tu TRA
 
Mwee unataka kuniambia hadi wenye mamilioni nao wanaona shida kutumbua hizo M tu kwa ajili ya kula bata??
Comrade kwa sisi wabongo wengi wetu kula bata inayozidi 1mil kwa mkupuo mmoja ni mpunga mrefu (at least kwa uzoefu wangu)...

Sasa ukijumlisha na zile costs za kuyafuata hayo madude kwenye port ya karibu plus tena kurudi...

Mfano kwa TZ the closest cruise ship ni Costa Mediterranea yenyewe inazunguka visiwa vya karibu Seychelles,Madagascar, Mauritius na ReUnion...

Sasa kuipanda hii inabidi uifuate Port Louis, Seychelles...sasa hadi kila kitu kinaisha unaweza pata umechoma dola 2500$ hivi...

Hahah kibongo bongo hapo ushaleta Vitz toka Japan, bado hela ya kutolea tu TRA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comrade kwa sisi wabongo wengi wetu kula bata inayozidi 1mil kwa mkupuo mmoja ni mpunga mrefu (at least kwa uzoefu wangu)...

Sasa ukijumlisha na zile costs za kuyafuata hayo madude kwenye port ya karibu plus tena kurudi...

Mfano kwa TZ the closest cruise ship ni Costa Mediterranea yenyewe inazunguka visiwa vya karibu Seychelles,Madagascar, Mauritius na ReUnion...

Sasa kuipanda hii inabidi uifuate Port Louis, Seychelles...sasa hadi kila kitu kinaisha unaweza pata umechoma dola 2500$ hivi...

Hahah kibongo bongo hapo ushaleta Vitz toka Japan, bado hela ya kutolea tu TRA

Nimekupata vyema kabisa....proximity nayo inachangia kuongeza au kupunguza gharama.

Sikuzingatia hilo wakati nakusoma.
 
Huko tumeshaenda hadi tumechoka we wanna cross borders now,, we wanna go overseas by the way unajua mie ni mpenzi pia wa treni enh..

Kuna chombo kinaitwa rovos rail kiko south africa huwa kinakuja bongo mara moja moja kile nacho nakitamani sana ni moja kati ya luxurious trains duniani,, 15 days trip from dar es salaam to cape town njiani mnatalii tu na kula bata huku ndani kuna kila kitu ila uliza hizo nauli zake sasa ni ada ya IST kama siyo DIA kwa mwaka mzima..
Hahah...

Sasa kwani unashindwa kwenda hata hapo Sadani au Kilwa au Magoroto?

Ni pesa ndogo tu na muda mdogo (less than 4 days trip)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Some folks wako na hela, wana spend tu bila shida...

In Trump country, hata wasio na mahela kivile huwa wanaweza....

Thanks kwa tax returns....hususan kwa wenye mtoto au watoto au dependents wanaoweza kuwa claim kwenye returns zao.

Tax season is coming up.

Imagine getting a windfall of up to $15,000.00....

Hahahaaa that’s my favorite season of the year.
 
Back
Top Bottom