Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Basi bwana nitakula matunda yanatosha
Mmh!

Sijawahi jaribu...

Ila kwa ulaini wa samaki i guess ukimtia kwa hiyo sufuria unaweza ishia pata uji wa samaki...

Njia nzuri za kumpika samaki ni kumdeep fry au kukata minofu na kuichoma juu ya kikangio kwa mafuta machache, limao na viungo vya kunyunyiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes this might work as well, maana kwa kumuweka kwa foil unataka aive taratibu kwa njia ya mvukisho huku minofu ikifyonza viungo taratibu...

Hivi mzee baba unajua great chefs wengi ni wanaume...
Ila samaki anaweza iva vizuri kama muda atakao set ni sahii na temperature pia...njia nyingine atumie foil na viungo vyote atumbukize kwenye tumbo la samaki akamulie limao nk itanoga mno na ataiva vizuri kwa msaada wa Hornet
 
Aisee Asante Sana
Manake nilianza kughairi
Ila samaki anaweza iva vizuri kama muda atakao set ni sahii na temperature pia...njia nyingine atumie foil na viungo vyote atumbukize kwenye tumbo la samaki akamulie limao nk itanoga mno na ataiva vizuri kwa msaada wa Hornet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes this might work as well, maana kwa kumuweka kwa foil unataka aive taratibu kwa njia ya mvukisho huku nyqma ikifyonza viungo taratibu...

Hivi mzee baba unajua great chefs wengi ni wanaume...


Yeah najua mkuu, hotel nyingi chefs ni wanaume hiyo haiingiki, hata kwenye vipindi mbalimabli vya mapishi unakuta wanaume ndiyo wana host mfano chanell ya foodnetwork
 
Wa kwetu Shunie Hii ndio adha ninayokutana nayo siku nkikumbuka Tanga.

20191220_182708.jpg
 
Back
Top Bottom