Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Basi bwana nitakula matunda yanatosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh!
Sijawahi jaribu...
Ila kwa ulaini wa samaki i guess ukimtia kwa hiyo sufuria unaweza ishia pata uji wa samaki...
Njia nzuri za kumpika samaki ni kumdeep fry au kukata minofu na kuichoma juu ya kikangio kwa mafuta machache, limao na viungo vya kunyunyiza
Sent using Jamii Forums mobile app

