Usi complicate sana man, take it easy binadamu tupo tofauti sana kuna ambao wakipata kidogo wanapenda kuonyesha waache waishi maisha yao, wewe kuwa bitter haisaidii
just celebrate nao life is too short..,
Mfano mimi nikiamua kukupa hasira za maisha mda huu utakimbia hapa wakati 15years ago ilikuwa nife kisa ninaokota chuma mtaani nikauze kilo tzs 20, ...