Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Jamaa namkubali sana
Sent using my 6x6 bed.
Sent using my 6x6 bed.
View attachment 1296191
mkumbuke na kula
Mbona hafiki?Nimetuma dereva na gari





Usimsahau na mzaa chema.Mapato ukusanyaji wa sadaka mwezi huu umepanda mwisho wa mwaka watu wanamshukuru Mungu, kwahiyo hela ya mbuzi ipo nitatuma tu ondoa shaka,
Sasa ako hiyo kona ya tatu toka kwako, hapo kuna kuku hupendelea kuchakuraMbona hafiki?
NdiwoooNikupe password?
Huwezi kukuwa wewe jamaniLabda ni mimi






Huwezi kukuwa wewe jamani
Alipata tabu mtu jamani!
Hiyo kazi nipe mimi
Tufanye kumsaka
Karibu mkuuMambo ya Dodoma
Sent using my 6x6 bed.
Hahaha
Sent using my 6x6 bed.






Yani kweli umenitamanisha.Karibu mkuu
Ndo nishakuachia kaziHiyo kazi nipe mimi
Sasa ako hiyo kona ya tatu toka kwako, hapo kuna kuku hupendelea kuchakura




