Jael umeiba nini naona unatafutwa huku na Sakayo... Au ni ile juice ya ukwajuChat na picha, wekeni hata za masufuria jamani View attachment 1296181
[emoji485][emoji485][emoji485][emoji485] Sikunyimi kitu mimi mrembo, nitakutumia mbuzi wa x mass[emoji138]Baba paroko unataka kuninyima nini eti jamani View attachment 1296185
Nimetuma dereva na gariTuma nauli haraka.
Woyooo[emoji485][emoji485][emoji485][emoji485] Sikunyimi kitu mimi mrembo, nitakutumia mbuzi wa x mass[emoji138]
Abeeee
Jana Liverpool tulikua kwenye friend match au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hii nayo ataigonga like halafu atatambaa kimya kabisa hataki shobo na mtoto wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapato ukusanyaji wa sadaka mwezi huu umepanda mwisho wa mwaka watu wanamshukuru Mungu, kwahiyo hela ya mbuzi ipo nitatuma tu ondoa shaka,Woyooo
Baba paroko umeongea kitu cha maana toka huu mwaka umeanza
Hallelujah baba parokoMapato ukusanyaji wa sadaka mwezi huu umepanda mwisho wa mwaka watu wanamshukuru Mungu, kwahiyo hela ya mbuzi ipo nitatuma tu ondoa shaka,
Haya Saint anne jilete huku au nikufuate huko huko kwenye uzi wa kupeana likes??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani kumuona akicomment
Umekilamba kijiko naoana njaa ililushika sanaView attachment 1296191
mkumbuke na kula