Hapana mkwe ngoja niwape za uso kwa huwa mnazingua sana huku jukwaani, piga sana vijembe...
Halafu mara paaap tunakutana na nyuziii za wavulana wanajisifia, sababu tu jukwaani huku mbele mnakuwa wakali kila mdada ni St.Theresa...
Sasa mkipatwa na wavulana huko wanajiona kama wamefaulu mtihani wa kuingia Cambridge au Yale, wanaishia kuja kupiga vifua vyao huku mbele na nyuzi zao sijui za kimasihara etc...
Anyway ngoja niachane nayo mkwe, huwa hayanihusu sana