Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,222
Yaani mie sikuutaka hata maana najijua,, kwanza sikuwahi maliza notes kwahiyo madaftari nikawa sikusanyi kila siku nasingizia yamepotea..
Sent using Jamii Forums mobile app








LiniKumbe hilo unalijua eeh?
Hahaaa, mabalaa utayaweza?Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe

kabisa,, mwalimu wangu wa hesabu a level ndiyo kabisa hakuwahi kuliona daftari langu hadi tunamaliza shule halafu alikuwaga mpole masikini hata kuchapa hajawahi..
yaani aliongea kwa masikitiko hadi nilimuonea huruma jamani
Kumbe eeehhh
Sitaki mabalaa mimi jamani!!Hahaaa, mabalaa utayaweza?
Kuna kitu kinaitwa "The Price of Admiralty".
Bora hata umemalizakabisa,, mwalimu wangu wa hesabu a level ndiyo kabisa hakuwahi kuliona daftari langu hadi tunamaliza shule halafu alikuwaga mpole masikini hata kuchapa hajawahi..
Siku hiyo anarudisha madaftari darasa limetulia kimya ghafla akaniuliza "halafu E daftari lako liko wapi mbona sijawahi kuliona tangu nianze kuwafundisha" darasa zima lilichekayaani aliongea kwa masikitiko hadi nilimuonea huruma jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaah!! We ni changamoto



Nasema nimenunaa!!
Leo.Lini
We sema sasa!
HayaLeo.
Yaani nimecheka kwa nguvu hadi dada kasema nitachizika na jf
Mkwe mie mpole sana.