Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,824
- 183,019
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We haya tuu jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We haya tuu jamani
Huyo roboti ni kila uzi[emoji134][emoji134][emoji134]Mimi ni kwenye huu uzi tu
Nunda ni Karma wa Kyela
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani mie sikuutaka hata maana najijua,, kwanza sikuwahi maliza notes kwahiyo madaftari nikawa sikusanyi kila siku nasingizia yamepotea..
Sent using Jamii Forums mobile app
LiniKumbe hilo unalijua eeh?
Hata haujaangalia halafu unasema hivyo[emoji134][emoji134]
Hahaaa, mabalaa utayaweza?Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe eeehhh
Sitaki mabalaa mimi jamani!!Hahaaa, mabalaa utayaweza?
Kuna kitu kinaitwa "The Price of Admiralty".
Bora hata umemaliza[emoji85][emoji85] kabisa,, mwalimu wangu wa hesabu a level ndiyo kabisa hakuwahi kuliona daftari langu hadi tunamaliza shule halafu alikuwaga mpole masikini hata kuchapa hajawahi..
Siku hiyo anarudisha madaftari darasa limetulia kimya ghafla akaniuliza "halafu E daftari lako liko wapi mbona sijawahi kuliona tangu nianze kuwafundisha" darasa zima lilicheka [emoji2296][emoji2296] yaani aliongea kwa masikitiko hadi nilimuonea huruma jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaah!! We ni changamoto[emoji134][emoji134][emoji134]
Nasema nimenunaa!!
Leo.Lini
We sema sasa!
HayaLeo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nimecheka kwa nguvu hadi dada kasema nitachizika na jf[emoji134][emoji134][emoji134]
Mkwe mie mpole sana.
Mpesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya
Wapi huko