ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,443
- 119,022
Hongera, ilà hicho chakula sikipendi hatari...Niko live na maishaView attachment 1294343
Hongera, ilà hicho chakula sikipendi hatari...Niko live na maishaView attachment 1294343
Me too.Sikupendi tena![]()




Hongera, nisiseme nimekuonea wivu maana mm sio demu,
Tunaweza kua marafiki?
..wewe tu nini!!! Nasema mi sikupendi tenaMe too.![]()

Maana yake nn?


Maana yake nn?
Pole,
Sasa wewe Hadi za hapa zinakupitaKhaa sijawahi kuona mgonjwa anamtegemea maiti,, wewe si ndiyo mzee wa makoneksheni mama mie nakutegemea wewe usiniangushe..
Sent using Jamii Forums mobile app




Yaani ninavyojitahidi kuwa active hivi bado naonekana nafichwa?? Wakati huku wanaonizunguka wananiuliza JF kuna nini hadi nashinda humu?? 
Yaani umekuja mjini naona kama ndio wafichwa zaidi...khaaah!
Yaani ninavyojitahidi kuwa active hivi bado naonekana nafichwa?? Wakati huku wanaonizunguka wananiuliza JF kuna nini hadi nashinda humu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujambo...



za hapa haziwezi nipita kirahisi siku hizi niko chap,, Heaven Sent yeye hakuweka tu..
Hongera, ilà hicho chakula sikipendi hatari...



aisee.. TumetofautianaUngepunguza dharau kidogo..Wewe mwanamke au mwanaume, coz hata wanawake wana ndevu wengine