Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20191216_205347.jpg
 
Mazoez huongeza ufanisi..katika fani hii ya uchoraji..pia kuchora kunahitaji commitment na muda..Mana picha moja inaweza ikachorwa hata kwa siku tatu...mim hii naifananisha na mazoezi ya gym...

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipokua primary ndio nilikua nafanya sana hii.. ila now ata sikumbuki mara ya mwisho ni lini. Nataka nijikite tu kwenye vipaji vingine ambavyo nahisi ninanvyo.. Uandishi na utunzi wa nyimbo..
 
Japo ya kuhongwa siwez kataaa jaman usawa huu gari ya million 17 na ushee ukikataa wewe mchawi
Si kwa ubaya ila hii gari ni old school sana mazee !!!

Hivi mtu unaanzaje kuagiza gari ya 1998 mwaka 2019 jamani. Kuna redesign za hio gari kama toleo 4 mbele ila bado watu wanaagizaga old model tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom