Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,347
- 17,670
Mkuu unatambika au unatalii.Bado nafanya utalii wa ndaniView attachment 1293961
Mkuu unatambika au unatalii.Bado nafanya utalii wa ndaniView attachment 1293961
haki unanifurahisha,, mie nilikuwa naangalia sana zamani siku hizi nimepunguza maana niliokuwa nawakubali wengi wamezeeka wamestaafu na wengine wamefariki..
Sent using Jamii Forums mobile app






Hata wakaka piaWadad mnakera...mnatuma pic halafu mnafuta!!
Naleft huu uzi sasa hivi
Mkuu unatambika au unatalii.

Utalii mkuu hapo ni makumbusho ya wale wajapani waliokufa 1985 kwenye Ajali pale mto kikavu









Mto kikavu upo mkoa gani mkuu?Utalii mkuu hapo ni makumbusho ya wale wajapani waliokufa 1985 kwenye Ajali pale mto kikavu
Nyie mmezidi...hamu ya huu uzi sina tena.Hata wakaka pia
Ahahahah unaogopa nini jamani?Mpaka naogopa
Kilimanjaro mkuu .. Mbele kidogo ya barabara ya machame ukiwa unaelekea KIA au ArushaMto kikavu upo mkoa gani mkuu?
OK nimekupata Jina lilinitoka kidogo nikachanganya na katavi mkuu shukrani.Kilimanjaro mkuu .. Mbele kidogo ya barabara ya machame ukiwa unaelekea KIA au Arusha