Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,469
Watu wa huku wame uzoea
Watu wa huku wame uzoea
Sawa mkuuYap unaweza kusema ivo.. Lakini stendi ipo karibu zaidi kuliko icho kiwanda
Hahah...hebu twende sawa mkuu
Litamke.



haki unanifurahisha,, mie nilikuwa naangalia sana zamani siku hizi nimepunguza maana niliokuwa nawakubali wengi wamezeeka wamestaafu na wengine wamefariki..
Hao ndo sijawahi waaangalia!!
Last time niliangalia nikalia sana, sijawahi rudia
Hao ndo sijawahi waaangalia!!
Last time niliangalia nikalia sana, sijawahi rudia









woi nunda tena?? Uzi gani huo??
Jamani namtafuta Karma, mkimuona mwambieni anaitwa kule kwenye uzi wa manunda wenzie.
Exactly...Yeah hata mie hao nawakubali sana sasa mimi hao ongezea Van Dijk, Origi, na huyo mtoto unayemsemea wa kuitwa Alexander-Arnold..
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nafanya utalii wa ndani
Exactly...
Van Dijk reminds me the likes of Fernando Hierro, Cristian Chivu, Alessandro Nesta au Fernando Couto (sijui kama unaweza wajua hawa)



hapo umeniacha kwenye mataa ya mafiati kabisa kaka
Exactly...
Van Dijk reminds me the likes of Fernando Hierro, Cristian Chivu, Alessandro Nesta au Fernando Couto (sijui kama unaweza wajua hawa)
Wadad mnakera...mnatuma pic halafu mnafuta!!