Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki unanifurahisha,, mie nilikuwa naangalia sana zamani siku hizi nimepunguza maana niliokuwa nawakubali wengi wamezeeka wamestaafu na wengine wamefariki..
Hao ndo sijawahi waaangalia!!
Last time niliangalia nikalia sana, sijawahi rudia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah hata mie hao nawakubali sana sasa mimi hao ongezea Van Dijk, Origi, na huyo mtoto unayemsemea wa kuitwa Alexander-Arnold..

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly...

Van Dijk reminds me the likes of Fernando Hierro, Cristian Chivu, Alessandro Nesta au Fernando Couto (sijui kama unaweza wajua hawa)
 
[emoji41] Bado nafanya utalii wa ndani
IMG_20191216_115138_6.jpeg
 
Back
Top Bottom