Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,257
- 3,927
Okay.Sawa jamani
Okay.Sawa jamani
Naunga mkono hojaWadad mnakera...mnatuma pic halafu mnafuta!!
Wapi mkuu nisiukose huo mwaliko
Ahahaha ila nina kesi na wewe.Naunga mkono hoja
Mwaka 2001 alikua kwenye kikosi cha vijana dogo tuuHahah...huyu mbona wa juzi juzi tu mkuu, kumbuka alikuwepo kwenye Inter ya Mou
Naunga mkono hojaAhahaha ila nina kesi na wewe.
Daah...Naunga mkono hoja
Picha na chatDaah...
Sawa...Picha na chat
😄😄😄Sawa...
Mwaka 2001 alikua kwenye kikosi cha vijana dogo tuu
Nimewaza Romania ya Euro96 ya kina Hagi nikajikuta nimemuinclude.Hahah...huyu mbona wa juzi juzi tu mkuu, kumbuka alikuwepo kwenye Inter ya Mou



Hao ni former centre backs wakata umeme
Hierro - Spain + Madrid
Nesta - Italy + AC Milan
Chivu - Romania + Ajax/Inter Milan
Couto - Portugal + Porto/Barca/Lazio
Umefuraaahi!!
Sawa kaka.Nimewaza Romania ya Euro96 ya kina Hagi nikajikuta nimemuinclude.
Chat bila picha Sitaki weka picha mengine yafuate.Umefuraaahi!!



Na kweli huyo kaka ni mzuri jamani yaani akinyoa ndevu akicheka huwa kama mdada!! 


bora afuge ndevu hivyo hivyo
Si nyie wadada huwa mnawasechi mafutbola mahendisamu...
Huwa hamuwezi sechi watu kama sisi wenye sura za kuonjea ukali wa chumvi au ndimu...
Sawa.Chat bila picha Sitaki weka picha mengine yafuate.
Enzi hiyo pale nyuma kati alikuwepo Popescu, Petrescu akicheza shavu la kushotoNimewaza Romania ya Euro96 ya kina Hagi nikajikuta nimemuinclude.
We can still plan...muda ndio sasa wa kupanga na kuamua...halafu tiketi unanunua hata miezi 6 kabla.Oohh sawa sawa kabisa,, tufanye mpango basi 2022 tuende doha tukacheck FIFA
Sent using Jamii Forums mobile app